WITO WA MAKALA
2025-09-23
KITIVO CHA INSIA NA ELIMU
JARIDA LA MNYAMPALA
Jarida la Mnyampala (JM) ni jarida la kitaaluma lililo chini ya Idara ya Kiswahili ya Chuo Kikuu cha St John cha Tanzania. Jarida linachapisha makala za Isimu, Fasihi na Utamaduni wa Kiswahili.
Kwa mara nyingine tena, Mhariri Mkuu anawakaribisha wapenzi, watafiti na wataalamu wa lugha ya Kiswahili kuwasilisha makala kwa ajili ya Juzuu Na. 5 linalotarajiwa kuchapishwa mwanzoni mwa mwaka 2026.
Read more about WITO WA MAKALA