JARIDA LA MNYAMPALA: Announcements
https://journals.sjut.ac.tz/index.php/mnyampala
<p><strong>Jarida la Mnyampala (JM)</strong> ni jarida la kitaaluma lililopo chini ya idara ya Kiswahili ya Chuo Kikuu cha St John’s cha Tanzania. JM limesajiliwa na Maktaba Kuu ya Taifa mwaka 2019 na kupewa namba ya usajili ISSN 2683-6440 (nakala ngumu [print]) na e-ISSN 2683-6432 (nakala tepe ya mtandaoni [online]). Jarida limejikita katika uchapishaji wa makala za Fasihi, Isimu na Utamaduni wa Kiswahili. Hivyo basi, waandishi, watafiti na wapenzi wa Kiswahili wanakaribishwa kuchapisha makala katika jarida hili. Makala zote zitumwe kwa mhariri mkuu kupitia baruapepe <strong>jaridalamnyampala@sjut.ac.tz.</strong></p>en-USWITO WA MAKALA
https://journals.sjut.ac.tz/index.php/mnyampala/announcement/view/1
<p><span class="fontstyle0">KITIVO CHA INSIA NA ELIMU </span></p> <p><span class="fontstyle0">JARIDA LA MNYAMPALA</span></p> <p><span class="fontstyle0"><a href="https://journals.sjut.ac.tz/index.php/mnyampala/libraryFiles/downloadPublic/1">https://journals.sjut.ac.tz/index.php/mnyampala/libraryFiles/downloadPublic/1</a></span></p> <p><span class="fontstyle2">Jarida la Mnyampala </span><span class="fontstyle3">(JM) ni jarida la kitaaluma lililo chini ya Idara ya Kiswahili ya Chuo Kikuu cha St John cha Tanzania. Jarida linachapisha makala za </span><span class="fontstyle0">Isimu</span><span class="fontstyle3">, </span><span class="fontstyle0">Fasihi </span><span class="fontstyle3">na </span><span class="fontstyle0">Utamaduni wa Kiswahili</span><span class="fontstyle3">.</span></p> <p><span class="fontstyle3">Kwa mara nyingine tena, Mhariri Mkuu anawakaribisha wapenzi, watafiti na wataalamu wa lugha ya Kiswahili kuwasilisha makala kwa ajili ya Juzuu Na. 5 linalotarajiwa kuchapishwa mwanzoni mwa mwaka 2026.</span></p> <p><span class="fontstyle0">Mambo muhimu ya kuzingatia katika uandishi wa makala:</span></p> <ol type="a"> <li><span class="fontstyle3">Iandikwe kwa lugha ya Kiswahili.</span></li> <li><span class="fontstyle3">Iwe na maneno kati ya 3000-5000, ikiwamo ikisiri isiyozidi maneno 200.</span></li> <li><span class="fontstyle3">Ipigwe chapa katika programu ya </span><span class="fontstyle2">word </span><span class="fontstyle3">na nafasi ya 1.5 kati ya mstari na mstari.</span></li> <li><span class="fontstyle3">Urejeleaji ufanywe kwa kutumia mtindo wa APA toleo la 6.</span></li> <li><span class="fontstyle3">Ihaririwe vizuri.</span></li> <li><span class="fontstyle3">Ukurasa wa kwanza wa makala ujumuishe taarifa za mwandishi kama vile jina kamili,</span></li> <li><span class="fontstyle3">anuani, baruapepe, namba ya simu, asasi au taasisi alipo.</span></li> <li><span class="fontstyle3">Makala zote zitumwe kwa Mhariri Mkuu kupitia baruapepe </span><strong><span class="fontstyle0">jaridalamnyampala@sjut.ac.tz</span></strong></li> <li><span class="fontstyle3">Tarehe ya mwisho ya kupokea makala ni </span><span class="fontstyle0">31 Oktoba 2025</span><span class="fontstyle3">.</span></li> <li><span class="fontstyle3">Makala ambayo haitazingatia maelekezo haitafanyiwa kazi</span><span class="fontstyle0">.</span></li> </ol> <p><span class="fontstyle0">Kwa maelezo zaidi kuhusu jarida tembelea tovuti yetu</span></p> <p><strong><span class="fontstyle0">https://journals.sjut.ac.tz/index.php/mnyampala </span></strong><span class="fontstyle0">au kupitia ukarasa wa Ajol </span><strong><span class="fontstyle0">https://www.ajol.info/index.php/jm</span></strong></p> <p><span class="fontstyle3">Mhariri Mkuu,</span></p> <p><span class="fontstyle2">Jarida la Mnyampala</span><span class="fontstyle3">,</span></p> <p><span class="fontstyle3">8 Agosti 2025.</span></p>JARIDA LA MNYAMPALA2025-09-23